KARIBU KATIKA ULIMWENGU MPYA WA HABARI,BURUDANI,MICHEZO,MATUKIO NA HARAKATI(PILIKA) ZA KILA SIKU ZILIZOPO KATIKA MAISHA YA KILA..UNGANA NASI
ASANTE NA KARIBU SANA!!
Tuesday, January 24, 2012
Waziri Wa Nishati Na Madini,William Ngeleja akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari wakati wa uwekaji saini mikataba mitatu ya utafiti wa mafuta kutoka kampuni za nje jijini Dar es salaam,leo Kulia kwake ni Kamishna Msaidizi Nishati(Petrolium na Gas)Bw.Prosper Victus.
No comments:
Post a Comment