Sunday, January 22, 2012

"hhahhahahahahahaha...MTAJIBEBAAAAAAAAAA...YEBO..YEBO.."
Wachezaji wa timu ya Moro United wakishangilia goli la pili walilolipata dhidi ya Yanga..kabla ya Yanga kusawazisha katika mchezp wa ligi kuu VODACOM mzunguko wa pili,mchezo ulichezwa jana na timu zote mbili kuambulia suruhu ya 2-2.

No comments:

Post a Comment