Sunday, January 22, 2012

"KITU NA BOX..LIVE BILA CHENGA KTU HIKOOO CHATINGA NYAVUUUUUNI"
Moro United wakiandika bao la kwanza katika mchezo uliochezwa jana katika uwanja mpya wa taifa.Ligi kuu bara mzunguko wa pili ulianza jana kwa kukutana Yanga na Moro United.Huku kipa wa Yanga Shaaban Kado akiushuhudiana mpira ukitinga nyavuni

No comments:

Post a Comment