Sunday, January 22, 2012

"KADA WA CHADEMA AKABIDHI KADI YA UANACHAMA WA CHAMA HICHO KWA MAKAMU WA RAIS"
Makamu wa Rais Dkt Ghalib Bilal akipokea kadi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Nachingwea,Bw Hassani Mkope na sasa kujiunga rasmini CCM,wilayani humo..Tukio hili lilittokea jana wakati makamu wa Rais akiwa ziarani Mkoani Lindi.

No comments:

Post a Comment