KARIBU KATIKA ULIMWENGU MPYA WA HABARI,BURUDANI,MICHEZO,MATUKIO NA HARAKATI(PILIKA) ZA KILA SIKU ZILIZOPO KATIKA MAISHA YA KILA..UNGANA NASI
ASANTE NA KARIBU SANA!!
Tuesday, October 14, 2014
RAIS KIKWETE ATOA HOTUBA KATIKA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE MKOANI TABORA
Rais wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Tabora katika kilele cha mbio za mwenge 2014 zilizofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mjini Tabora Leo{Picha na Fredy Maro}
No comments:
Post a Comment