Tuesday, October 14, 2014

RAIS KIKWETE ATOA HOTUBA KATIKA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE MKOANI TABORA

Rais wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Tabora katika kilele cha mbio za mwenge 2014 zilizofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mjini Tabora Leo{Picha na Fredy Maro}


No comments:

Post a Comment