Tuesday, October 14, 2014

NI MIAKA KUMI NA TANO SASA TANGU ALIPOTUTOKA BABA WA TAIFA HILI AU MUASISI WA TAIFA HILI..MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE WENGI WALIPENDA KUMUITA MZEE KIFIMBO CHEZA KUTOKANA NA NA KUPENDA KUTEMBEA NA KIFIMBO CHAKE...KIUKWELI ALIKUWA KIONGOZI MWENYE MAPENZI YA DHAATI NA TAIFA LAKE,HAKUWA MWENYE TAMAA,WALA MAJIVUNO...HEBU TAZAMA TASWIRA ZAKE MBALI MBALI ENZI HIZO ALIPOKUWA KIONGOZI..
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akisalimiana na Rais wa Uganda Wakati huo Iddi Amini Dadah wakati wa kikao cha OAU mjini Addis Ababa,Ethiopia enzi hizo.Kushoto kwa Mwalimu ni Waziri wa Mambo ya Nje Mhe John S amweli Malecela
Mwalimu akimkumbatia Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kutoa hotuba ya kukubali matokeo ya Urais alipogombea kwa mara ya kwanza mwaka 2005. Mhe Benjamin Mkapa alishinda
 Mwalimu akiwa na mume wa Malkia wa Uingereza, Prince Philip

No comments:

Post a Comment