Tuesday, October 14, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT  BILAL AWAONGOZA WATANZANIA NA WANANCHI WA SENGEREMA KUMZIKA DKT SHIJA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Mohamed Gharib Bilal,akitoa heshima zake za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola,Marehemu Dkt William Shija,wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika kijijini kwake,Nyampande Wilaya ya Sengerema Mkoa Wa Mwanza,jana Oct 13 2014.
Spika wa Bunge la Jamhuri,Mhe.Anne Makinda,akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mabunge ya Nchi Wanachama  wA Jumuiya ya Madola,marehemu Dkt William Shija,wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika Kijijini kwake Nyampande Wilaya ya Sengerema,Mkoa Mwanza jana Oct 13 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Mohamed Gharib Bilalakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mabunge ya Nchi Wanachama Wa Jumuiya ya Madola,Marehemu Dkt William Shija wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika kijijini kwake Nyampande Wilaya  Sengerema,Mkoa Mwanza,jana Oct 13 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Mohamed Gharib Bilal akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mabunge ya Nchi Wanachama Wa Jumuiya ya Madola,Marehemu Dkt William Shija wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika Kijijini kwake Nyampande Wilaya Sengerema,Mkoa Mwanza,jana Oct 13 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania,Dkt Mohamed Gharib Bilal akitia saini katika kitabu cha maombelezi wa msiba wa aliyekuwa Katibu Mkuu Wa Chama Cha Mabunge wa Jm Nchi Wanachama Wa Jumuiya Madola,marehemu,Dkt William Shija wakati wa shughuli za maziko zilizofanyika kijijini kwa marehemu Nyampande Wilaya Sengerema Mkoa MWANZA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano,Dkt Bilal akiwafariji familia ya aliyekuwa Katibu Mkuu Wa Mabunge Ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola,Marehemu Dkt William Shija wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika kijijini kwakwe Nyampande Wilaya Sengerema,Mkoa Mwanza jana Oct 13 2014.

No comments:

Post a Comment