Saturday, January 21, 2012

"JAMANI NDIO MUONE HIVI NCHI YETU ILIVYO NA DEMOKRASIA,SWALA KAMA HILI LA KATIBA SIO LA CCM PEKE YAKE NI LETU SOTE,ELEWENI HIVYO"
Rais Kikwete akipokea mapendekezo ya chama cha NCCR-MAGEUZI juu ya mchakato wa katiba mpya toka kwa katibu mkuu wa chama hicho Mh,James Mbatia alipokutana na uongozi wa chama hicho jana Ikulu jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment